ALISIKIKA Rais wa Fenerbahce, Alic Koc wakati akimfukuza kocha Jose Mourinho, Septemba mwaka huu. Alisema: “Tulijua kocha wetu angesisitiza sana katika ulinzi wakati ule tumeleta. Lakini tuliongea ...
KOCHA wa Liverpool, Arne Slot anatarajia mshambuliaji wa timu hiyo Mohamed Salah kubakia katika kikosi chao hadi mwisho wa msimu.
MASHABIKI wa soka wenye hasira wametaka uuzaji wa tiketi za Kombe la Dunia 2026 usitishwe mara moja kutokana na bei za kinyonyaji.
MABOSI wa TRA United zamani Tabora United, wanaangalia uwezekano wa kumpata kwa mkopo nyota wa Yanga, Denis Nkane, baada ya mchezaji huyo anayecheza nafasi mbalimbali uwanjani kushindwa ...
BEKI wa kati wa Liverpool na timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, 26, rasmi ameiingiza vitani Paris Saint-Germain ambayo imeonyesha nia ya kutaka kumsajili katika dirisha lijalo la ...
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Azam FC, Jhonier Blanco amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na timu ya Llaneros ya kwao Colombia, baada ya kutokuwa na timu yoyote tangu alipoachana na ...
BAADA ya kukubali kichapo cha mabao 6-0 kutoka kwa JKT Queens, kocha wa Bilo Queens, Ibrahim Humba, amesema ugeni wa Ligi Kuu na uzoefu mdogo wa mashindano ni kati ya sababu zilizowaangusha.
KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema siku mbili zilizopita zilikuwa ‘mbaya zaidi’ katika kipindi chake cha ukocha wa klabu hiyo, akidai kuwa alikosa sapoti kutoka kwa baadhi ya watu wa timu hiyo.
MSANII wa Bongo Fleva, Omary Mwanga maarufu kama Marioo, ameahidi kumaliza mwaka kwa kishindo baada ya kufanya vizuri kwenye majukwaa mbalimbali ya kidijitali kwa miaka mfululizo.
MRATIBU wa ziara ya Lionel Messi nchini India amekamatwa kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano zaidi kutokana na vurugu zilizozuka ...
“LISEMWALO lipo na kama halipo laja, kwani sina haki ya kubeba ujauzito jamani? Tena nafurahia kumzalia Aziz KI mume wangu wa ...
KUNA asilimia kubwa kwa kiungo mshambuliaji wa zamani wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi Kuu ya Walemavu Uturuki, Ramadhan ...
Sommige resultaten zijn verborgen omdat ze mogelijk niet toegankelijk zijn voor u.
Niet-toegankelijke resultaten weergeven