News
Hukumu ya kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini yenye kurasa 60 na maneno zaidi ya 13,000 imejengwa juu ya ushahidi wa ...
Hukumu ya kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini yenye kurasa 60 na maneno zaidi ya 13,000 imejengwa juu ya ushahidi wa ...
Amesema mabaki ya miili 33 yamepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali ili kuitambua na kuikabidhi kwa familia kwa ajili ya ...
Msajili ametoa kauli hiyo katika kipindi ambacho joto la uchaguzi mkuu linazidi kupanda ndani ya vyama 18, vilivyopo kwenye ...
Ameongeza kuwa jukumu lake kubwa ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kupitia usimamizi makini wa fedha na miradi ...
Katika tukio nadra kutokea Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amemwapisha Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Benjamin Sitta na baadaye kwenda kumkabidhi ofisi hiyo baada ya yeye kuteuliwa kwenye ...
Mkurugenzi wa Kampuni ya mikopo ya Atlantic Micro Credit Limited, Wendy Ishengoma na wenzake watatu wanakabiliwa na tuhuma za kuendesha biashara ya upatu na kutakatisha Sh3.6 bilioni.
Paredi la Yanga limesimamisha mwendokasi eneo la Msimbazi baada ya kusimama kwa muda wakati gari iliyobeba mataji, wachezaji na viongozi wa timu hiyo lilipofika eneo la jengo la watani zao Simba.
Akisoma taarifa ya mwaka ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO) mkoani Geita, Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Nelico, Alex Majogoro amesema kutokana na uamuzi wa Trump kusitisha asilimia 90 ...
Matarajio ya kusherehekea harusi yamegeuka huzuni na majonzi kwa familia ya mzee Kiluvia, anayeishi Ngusero, Same Mjini, ...
Wakati mikoa ya Lindi na Mtwara ikipunguza mimba za utotoni kutokana na utoaji elimu ya afya ya uzazi kwa vijana, kumeibuka ...
Nahodha wa Inter Miami, Lionel Messi, ameonja machungu ya kutolewa kwenye Kombe la Dunia la Klabu baada ya klabu yake ya ...
Results that may be inaccessible to you are currently showing.
Hide inaccessible results